KIWANJA KITAKACHO TUMIKA KTK KOMBE LA MATAIFA YA AFRIKA

Kiwanja cha Taifa cha Ombaka nchini Angola
ambacho kinatumika katika michuano ya
Kombe la Mataifa ya Afrika - CAF



KOMBE LA MATAIFA YA AFRIKA 2010 ANGOLA





Nani kutatwaa kombe la Mataifa ya Afrika 2010 Angola
MICHEZO www.twitterbongomichezo.blogspot.com





MAMA NA MWANA WAKIMWANGALIA BABA ANAVYOCHAKALIKA


Victoria Beckham na mtoto wake wakiangalia
mechi AC Milan vs Genoa siku David Beckham aliporudi
katika timu hiyo tena kwa mkopo AC Milan 5 -2 Genoa


ZUMA ACHUKUA MKE WA TANO

Jacob Zuma










Rais wa Afruka Kusini Jacob Zuma ameoa mke wa
Tano (5) Thobeka Madiba ni ndoa ya kabila la Wazulu








LEO NI IVORY COAST VS TAIFA STARS

Kwa habari zaidi Tembelea hapo juu Michezo au http://twitterbongomichezo.blogspot.com/




KWAELI KAWAWA


Rais Jakaya Kikwete akitoa heshima za mwisho mbele ya
jeneza alimowekwa marehe Rashid Kawawa

KAWAWA KUZIKWA LEO

Marehemu Rashidi Mfaume Kawawa